Ikiwa unasema ukweli,Huna haja ya kukumbuka chochote.


-Mark Twain



Mwishoni, Tutakacho kumbuka si Maneno ya maadui zetu, Bali kimya cha marafiki zetu.



-Martin Luther King Jr.

Ukitaka kujua tabia ya mwanaume, Tazama vizuri anavyoishi na Watoto na Sio Watu wa rika lake.


-J.K. Rowling

Kwa maneno matatu naweza kuelezea kilakitu nilichojifunza kuhusu Maisha, "Yana Kwenda Mbele"


-Robert Frost

Kua mabadiliko ambayo unataka kuyaona duniani



-Mahatma Gandhi

Unaishi maramoja tu, Ukiitumia vizuri, Maramoja inatosha.


-Mae West

Chumba bila vitabu ni kama mwili bila nafsi.



-Marcus Tullius Cicero

Cheza kama vile hakuna anae kutazama,
Penda kama vile hutakuja uumizwe,
Imba kama vile hakuna anae kusikia
Na ishi kama vile upo pepo ya duniani.




-William W. Purkey

Vitabu ni vingi na muda ni kidogo


-Frank Zappa

Kua kama ulivyo na sema unachojisikia, Kwasababu wale wanao kuchukia hawana faida kwako na wale wenye faida kamwe hawawezi kukuchukia.


-Bernard M. Baruch

Mambo haya mawili hayana mwisho, Ulimwengu na Upumbavu, Sina hakika kuhusu ulimwengu


-Albert Einstein

Kua wewe, Mwingine yoyote unayetaka kua tayari ameshachukuliwa


-Oscar Wilde



Usilie kwasababu limeisha, Bali tabasamu kwasababu limetokea


-Dr.Seuss

Ukitaka kupiga picha nzuri ni lazma ujue pakusimama


-Ansel Adams

Kamwe usikubali kushindwa pasipo kupambana.


SwahiliQuotes

Fanya kazi kama vile huhitaji fedha,
Penda kama vile hujawahi kuumizwa,
Cheza kama vile hakuna anae kutazama.

SwahiliQuotes

Mafanikio hayaji kama ajali, Bali huja kwa kazi ngumu,Uvumilivu,Kujituma,Kujifunza,Kujitoa na zaidi ya yote Upendo kwa kile unachofanya au kujifunza kufanya.

SwahiliQuotes


Moja ya sifa nzuri sana za urafiki wa kweli ni kuelewa na kueleweka.


SwahiliQuotes

Sanaa sio unachokiona, Bali kile unachofanya wengine wakione.

SwahiliQuotes

Ipo furaha ya aina moja tu katika maisha, Nayo ni Kupenda na Ukapendwa.


SwahiliQuotes

Ni wewe pekee unayeweza kubadili maisha yako, Hakuna mwingine anayeweza kukubadilishia.

SwahiliQuotes

Usipende kusikiliza chochote unachoambiwa kuhusu mtu yoyote, hukumu kila mtu na kila kitu kwa jinsi unavyokiona wewe mwenyewe.


SwahiliQuotes

Kitu kigumu zaidi katika maisha ni Kuamua, Unaweza kufanya chochote unachotaka kufanya,Unaweza kutenda na kubadili maisha yako kabisa ikiwa tu utaamua.


SwahiliQuotes

Hebu tujitolee leo yetu ili watoto wetu wawe na kesho bora.


SwahiliQuotes

Kamwe huwezi kuunganisha mikono na ngumi iliyokunjwa.


SwahiliQuotes